ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 7, 2011

SIMBA 1 YANGA 1

Penati ya Yanga katika mchezo huo wa watani wa jadi Simba na Yanga ambao uliisha kwa sare ya 1-1.

Tehe....Refa 'wetu' kaangusha miwani.

KOCHA wa Yanga, Sam Timbe alipokuwa akihojiwa na Super Sport mara baada ya mchezo alisema "Ushauri wangu mwingine kwa TFF ni kwamba waangalie uwezekano hata wa kualika waamuzi kutoka nje waje wachezeshe baadhi ya mechi kama hizi, pia inaweza kuwa sehemu ya wazawa kujifunza,".

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.