Ni show ya muziki wa kizazi kipya iliyosimama hakuna mfanowe, inayo ruka kila jumamosi saa sita kamili mchana hadi tisa alasili ndani ya Clouds fm, hakuna ubishi kuwa hii ni namba wani show ya bongo fleva nchini: TUKOMEE HAPO:: pichani mdadada anaitwa Dj Fetty.
On the one and two anasimama Dj Steve B' aka skillz
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment