Nilikuta watu wamejaa vutanikuvute ikiendelea, Huyu jamaa alipita njia isiyoruhusiwa (one way) huku aking'ang'ania kwenye usukani, mara baada ya kukamatwa aligoma kushuka toka kwenye gari alilokuwa akiendesha.
Mara wakamchomoa toka kwenye uskani... alikuwa akikimbizwa na polisi toka mbali na polisi hao walisikika wakisema "umetusumbua kweli sasa tumekunasa".
Shaka-shaka pia imejitokeza kwamba gari alilokuwa akiendesha jamaa huyu lasemekana kuwa ni la wizi.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment