ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 29, 2010

MWANZA KUUAGA MWAKA KWA STYLE YAKE : NI KATIKA USIKU WA MLIPUKO WA VODACOM.

Huu ndiyo mpango mzima!
Hawa ndiyo FAGIO kundi muziki wa ragga toka nchini Uganda wanaotegemewa kushuka, kukamua na kufanya mchuano FULANI HIVI kwani siku hiyo THT toka dar, VHT toka rock city wote watapanda stage HILO-HILO katika siku tutakapofunga mtaa wa posta na Nyamagana jijini Mwanza, na kisha pale kati MAKAMUZzzz ya BURUDANI zilizoshiba jicho lako likisaidiwa na KITU cha BIG SCREEN na maDVJ toka Uganda, INSHU NZIMA ni tarehe 31 mkesha wa kuuga mwaka 2010 na kuukaribisha mwaka mpya 2011.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.