Na hii ndiyo drem team ya Giraffe Unique Model 2010, ambapo jumla ya washiriki kumi wamepita katika mchujo na kuingia kwenye mtanange wa tarehe 24/12/2010. Majina ya wanamitindo waliopita ni kama ifuatavyo:- Dorah Mhando, Purity Walele, Asia Dachicalorine Mwakasaka, Diana Mainason, Mariam Rabii, Ritah Samwel, Carina Suleiman na Bilkis Suleiman.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.