TP MAZEMBE KUTOKA CONGO NDIYO MABINGWA WA LIGI YA MABINGWA BARANI AFRIKA KWAMARA YA 4. HII NI BAADA YA KUSABABISHA SARE YA BAO 1 NA KLABU YA TUNISIA, ESPERANCE KATIKA MCHUANO WA DURU YA PILI YA FAINALI KUFUATIA USHINDI WA MAGOLI 5-0 MCHUANO WA KWANZA MJINI LUBUMBASHI.
MASHABIKI WA TUNISIA WAKIFANYA VURUGU.
KABLA-YA MCHUANO HUO KUANZA POLISI WALIFANYA KAZI YA ZIADA KUZUIA GHASIA ZILIZOANZISHWA MA MASHABIKI WA ESPERANCE WALIORUSHA CHUPA ZA MAJI UWANJANI WAKATI MAZEMBE IKIINGIA. EXP ILIHITAJI MIUJIZA KUSHINDA ZAIDI YA GOLI 5. MAZEMBE INAJISHINDIA ZAWADI YA DOLLAR MILIONI 1.5 PAMOJA NA KUSHIRIKI KOMBE LA DUNIA LA VILABU NCHINI ABU DHABI MWEZI UJAO IKIFUNGUA DIMBA NA KLABU BINGWA YA MEXICO, PACHUCA.
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
Simba SC inafahamu la kufanya ili 'kupindua meza'
-
Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amesema wachezaji na jopo la ufundi
wanafahamu fika wanachopaswa kukifanya katika mchezo wa marejeano wa
fainali ya Ko...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.