ILI KUWA MFANO KWA WATANZANIA WENZANGU, KUITUMIA HAKI YANGU YA MSINGI NA KUHAKIKISHA KWAMBA KILE NINACHOKISEMA NDICHO NINACHO KITENDA, ASUBUHI YA LEO MGUU KWA MGUU HADI OFISI ZA MTENDAJI KATA YA KIRUMBA KUHAKIKI KAMA JINA LANGU NALO LIMO KWENYE ORODHA YA WAPIGA KURA ILI KUEPUKA USUMBUFU HIYO KESHO. SIKUFANIKIWA KATIKA KITUO HIKI KUONA JINA LANGU NDIPO NIKASHAURIWA NA WASAIDIZI KWENDA ENEO NILILO JIANDIKISHA KITAMBULISHO CHA KUPIGA KURA (SHULE YA M/S MWENGE).
MARA KABAaa! PALE KATI JINA LANGU LILILO ZUNGUSHIWA WINO.
WANANCHI WA KIRUMBA WILAYA YA ILEMELA JIJINI MWANZA WAKITIZAMA KWA MAKINI KUHAKIKI MAJINA YAO NA VITUO VYA KUPIGIA KURA.
WEKA HISTORIA PIGA KURA KWANI NI HAKI YAKO YA MSINGI.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment