ILI KUWA MFANO KWA WATANZANIA WENZANGU, KUITUMIA HAKI YANGU YA MSINGI NA KUHAKIKISHA KWAMBA KILE NINACHOKISEMA NDICHO NINACHO KITENDA, ASUBUHI YA LEO MGUU KWA MGUU HADI OFISI ZA MTENDAJI KATA YA KIRUMBA KUHAKIKI KAMA JINA LANGU NALO LIMO KWENYE ORODHA YA WAPIGA KURA ILI KUEPUKA USUMBUFU HIYO KESHO. SIKUFANIKIWA KATIKA KITUO HIKI KUONA JINA LANGU NDIPO NIKASHAURIWA NA WASAIDIZI KWENDA ENEO NILILO JIANDIKISHA KITAMBULISHO CHA KUPIGA KURA (SHULE YA M/S MWENGE).
MARA KABAaa! PALE KATI JINA LANGU LILILO ZUNGUSHIWA WINO.
WANANCHI WA KIRUMBA WILAYA YA ILEMELA JIJINI MWANZA WAKITIZAMA KWA MAKINI KUHAKIKI MAJINA YAO NA VITUO VYA KUPIGIA KURA.
WEKA HISTORIA PIGA KURA KWANI NI HAKI YAKO YA MSINGI.
Je, Upweke una athari gani kiafya?
-
Wataalamu wengi wanakubali kwamba upweke hutokea unapohisi ubora wa
mahusiano yako binafsi na watu wengine yako chini kuliko vile unavyotamani
yawe.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.