Ferre Golla akisebeneka na shabiki wake jukwaani jana usiku.
Hapa lilikuwa linagongwa sebene laini laini,huku Ferre Golla akiongoza safu hiyo,Diamond hapatoshi ni shangwe na makelele tu. Mkazi wa Mwanza leo zamu yako pale ccm kirumba. ONYESHO LITAFANYIKA KUANZIA SAA 1 USIKU KIINGILIO SHILINGI 3,000/= TU!!
KWA HABARI NA PICHA ZAIDI TEMBELEA www.michuzijr.blogspot.com
Meridianbet Yawafikia Wanawake Wajane Magomeni
-
KATIKA kuendelea kutambua umuhimu wa jamii, Meridianbet leo hii iliamua
kufunga safari na kuwatembelea wanawake wajane wanaopatikana mtaa wa
Magomeni ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.