Ferre Golla akisebeneka na shabiki wake jukwaani jana usiku.
Hapa lilikuwa linagongwa sebene laini laini,huku Ferre Golla akiongoza safu hiyo,Diamond hapatoshi ni shangwe na makelele tu. Mkazi wa Mwanza leo zamu yako pale ccm kirumba. ONYESHO LITAFANYIKA KUANZIA SAA 1 USIKU KIINGILIO SHILINGI 3,000/= TU!!
KWA HABARI NA PICHA ZAIDI TEMBELEA www.michuzijr.blogspot.com
MHE. SIMBACHAWE AITEMBELEA FAMILIA YA HAYATI MSUYA
-
*Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Familia ya Makamu wa Kwanza
wa Ra...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.