TATIZO LA MAJI SAFI YALIYO SALAMA LIZIDI KUENDELEA KUWA SUGU HAPA NCHINI, JEH! TUNAHOJI WAGOMBEA AU TUNACHUKULIA POA AKA YAANI FREEESHII!!? PICHANI NI WATOTO WA KIJIJI CHA NKOME WILAYANI GEITA.
KISIMA CHENYEWE.
UMIA UJAE.
KIJIWE CHA KAHAWA KEMONDO JIJINI MWANZA. UKITAKA BREAKING NEWS ZA MJINI NA HABARI ZA SIASA AMBAZO ZAMA HIZI KILA MTANZANIA AMESHIKIA BANGO HAPA NDO PENYEWE, NASKIA PIA KUNA DEGREE ZINAZO TOLEWA BURE KWENYE VIJIWE VYA KAHAWA.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.