YULE MBLOGISHAJI MAARUFU NCHINI (LONG TIME KWENYE GAME) ISSA MICHUZI -EI KEI EI- 'ANKAL' LEO NI SIKU YAKE YA KUZALIWA. Ankal (KULIA) akipongezwa na mgombea ubunge wa Kasulu Mashariki Bw. Jamal Abdallah walipokutana usiku wa kuamkia leo mjini Kigoma. Bw. Abdallah, ambaye ni mdogo wake mchambuzi wa kandanda Dokta Liky Abdallah, alishinda kwa kishindo katika kura za maoni na kumwondoa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Bw. Kilontsi Mpologomyi na wagombea wengine.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.