Jioni ya J2(jana) Mjapani mmoja mwenye mapenzi makubwa na waafrika aliwaalika nyumbani kwake. Huyu ni Hiroshi Ikeuchi ambaye anazifahamu sana nchi za Afrika ya Mashariki, mtaa kwa mtaa.
Kwahakika ilikuwa hafla nzuri sana iliyowajumuisha washiriki kutoka mataifa ya Tanzania, Uganda, Botswana na zambia na karibu wote walikuwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vikuu hapa Japani isipokuwa wachache kama mirindimo...
wananchi walikuwa bize kwenye chakula...
sijui nianzie wapi? (Mirindimo)Wacha nishughulike na hiki kwanza....hai tebo...
Ilikuwa jioni njema watu walikunywa , kula na kuzungumza na kubadilishana taarifa .
Shibe inapunguzwa kwa tizi, baada ya shibe mazoezi ya Kung-fu. Rafiki kutoka Botswana akifuata maelekezo ya mwalimu Hiroshi. Nyuma yake ni jamaa kutoka Zambia. PICHA NA TAARIFA AMENITUMIA MIRINDIMO.
Trump: 'Putin anacheza na moto'
-
Kwa mujibu wa jarida la Wall Street Journal, Trump amekerwa na mashambulizi
dhidi ya Ukraine, ambayo hivi karibuni yamekuwa yakitokea mara kwa mara.
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.