Jioni ya J2(jana) Mjapani mmoja mwenye mapenzi makubwa na waafrika aliwaalika nyumbani kwake. Huyu ni Hiroshi Ikeuchi ambaye anazifahamu sana nchi za Afrika ya Mashariki, mtaa kwa mtaa.
Kwahakika ilikuwa hafla nzuri sana iliyowajumuisha washiriki kutoka mataifa ya Tanzania, Uganda, Botswana na zambia na karibu wote walikuwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vikuu hapa Japani isipokuwa wachache kama mirindimo...
wananchi walikuwa bize kwenye chakula...
sijui nianzie wapi? (Mirindimo)Wacha nishughulike na hiki kwanza....hai tebo...
Ilikuwa jioni njema watu walikunywa , kula na kuzungumza na kubadilishana taarifa .
Shibe inapunguzwa kwa tizi, baada ya shibe mazoezi ya Kung-fu. Rafiki kutoka Botswana akifuata maelekezo ya mwalimu Hiroshi. Nyuma yake ni jamaa kutoka Zambia. PICHA NA TAARIFA AMENITUMIA MIRINDIMO.
Binadamu kuanza kuchimba madini angani?
-
Miamba ya angani ina utajiri mkubwa wa madini adimu kama platinamu, nikeli,
kobalti, na hata helium-3, ambayo ni muhimu katika uzalishaji wa nishati ya
nyu...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.