Jioni ya J2(jana) Mjapani mmoja mwenye mapenzi makubwa na waafrika aliwaalika nyumbani kwake. Huyu ni Hiroshi Ikeuchi ambaye anazifahamu sana nchi za Afrika ya Mashariki, mtaa kwa mtaa.
Kwahakika ilikuwa hafla nzuri sana iliyowajumuisha washiriki kutoka mataifa ya Tanzania, Uganda, Botswana na zambia na karibu wote walikuwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali vikuu hapa Japani isipokuwa wachache kama mirindimo...
wananchi walikuwa bize kwenye chakula...
sijui nianzie wapi? (Mirindimo)Wacha nishughulike na hiki kwanza....hai tebo...
Ilikuwa jioni njema watu walikunywa , kula na kuzungumza na kubadilishana taarifa .
Shibe inapunguzwa kwa tizi, baada ya shibe mazoezi ya Kung-fu. Rafiki kutoka Botswana akifuata maelekezo ya mwalimu Hiroshi. Nyuma yake ni jamaa kutoka Zambia. PICHA NA TAARIFA AMENITUMIA MIRINDIMO.
Nafasi ya Kuibuka Milionea Ipo Leo
-
NI Ijumaa nyingine tena ya kutusua kijanja na wakali wa ubashiri
Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo, hivyo
suka jamvi la...
Nafasi ya Kuibuka Milionea Ipo Leo
-
NI Ijumaa nyingine tena ya kutusua kijanja na wakali wa ubashiri
Meridianbet. Mechi za ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea leo, hivyo
suka jamvi lako ...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.