TAZAMA JINSI ILIVYO VYEMA NA KUPENDEZA, NDUGU WAKAE PAMOJA KWA UMOJA zab 133:1 THANX FOR JOINING WITH US. 12 JUN 2010 THE PLACE YATCH CLUB.
PAMOJA NA SERVICE NZURI RAHA YA SHEREHE NI VINYWAJI NA CHAKULA KIZURI.
RAFIKI WA MARAFIKI KAMANDA MPIGANAJI RWAMBOW IN THA HOUSE.
MC BONKE MSHEREHESHAJI MAARUFU JIJINI MWANZA AMBAYE ALIONGOZA SHUGHULI HIYO HATUA ZOTE BILA UTATA YAANI FREEESH!! NAMBA ZAKE NI 07.....303 AKSANTENI SANA.
DADA WA BWANA HARUSI (KATIKATI) WHITNEY FASHION NA FLOWERS WENGINE.
WE ACHA! WATU WALIVUNJA MAKABATI BWANA! WATANGAZAJI WA STAR TV FATMA SHEMWETA (MBELE) NYUMA YAKE HUSNA MLANZI, HAPA NI ULE WAKATI WA KUTWAA UVUMBA NA MANEMANE KWA MAHARUSI(ZAWADI).
MTANGAZAJI RADIO FREE AFRICA NA STAR TV 'LE PRINCE' BAINA KAMUKULU.
SHUGHULI NI WATU NA WATU NDO SISI BWANA LAZIMA KUNG'ARA ALAA!
RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TRA MKOA WA SIMIYU
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan leo
tarehe 16.06.2025 amezindua jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa
wa Simiy...
WAACHENI WATOTO WAENDE SHULE- RAIS SAMIA
-
Na John Mapepele -OR TAMISEMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan
amewataka wazazi nchini kuwaachia watoto wa kike kus...
Mahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ku...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.