Ustaadh akanambia "MWANANGU HIZI NIMENUNUA JANA, NIKASEMA YAAANI SOX TUNABAMIZWA ALFU5 KUMBE HUKU MTAANI 3 ALFU MOJA". Alidhani kapata kumbe... KUNA ZILE SOX ZINAZOUZWA NA MACHINGAZ, ETI SOX TATU BUKU, CHEKSHIA UBORA WAKE, SIKU MOJA YA PILI.....
KILA MTU SIKU HIZI ANAPENDA KUONEKA TOFAUTI IWE KATIKA SHEREHE, HAFLA AU MITOKO MBALIMBALI, MIAKA YA NYUMA WENGI TULIONEKANA KUJIBIDIISHA SANA KUSAKA MAVAZI AMBAYO YANGESABABISHA WENGINE KUDONDOSHA SIFA ILIYO KUU "UMEPENDEZA, LAKINI MIAKA YA SASA INSHU SI KUPENDEZA TUU WATU TUNAMAIND SUALA LA KUMEK HEADLINE. CHEKSHIA SIDIRIA HIYOoooo....
WEE BIA 4 TU, UNAONGEA MANENO MEEEEEENGI, UKIONGEZA YA 5 UMEFLOTI. CHEKI DOGO ANAGONGA CHUPA YA MWISHO KTK KRETI.... HUTAKI?
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.