ILI KWENDA NA WAKATI NA KURAHISISHA UTENDAJI WA KAZI, JESHI LA POLISI MWANZA MBALI NA KUWA NA VITENDEA KAZI BORA VYA KISASA, JESHI HILO LIMEBORESHA MAZINGIRA YAKE.
MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA SEHEMU MBALIMBALI HAPA NCHINI MBALI NA KUHARIBU MAKAZI YA WATU NA UHARIBIFU MASHAMBANI MVUA HIZO PIA ZIMEHARIBU MIUNDOMBINU YA DARAJA LA MILONGO BARABARA YA UHURU MZ.
SEHEMU YA MTO MILONGO INAYOKATISHA KATIKATI YA JIJI LA MWANZA KUTIRIRISHA MAJI YAKE ZIWA VICTORIA.
HATA DARAJA HILI KUNAKIPINDI MAJI HUVUKA KIMO CHAKE NA KUSABABISHA KUTOPITIKA, MTO UNAPITA CHINI YA DARAJA HILI (maeneo ya klinic)HATUA CHACHE ZIWANI.
SIYO MASHINDANO YA BAISKELI KAMA UNAVYOWEZA FIKIRI, SIUNAJUA TENA JADI YETU WASUKUMA UTAJIRI NI NG'OMBE NA BAISKELI HAPA NI KATIKATI YA JIJI WAZALENDO KUTOKA VIJIJI VYA KARIBU WAMEZAMA TOWN KUFANYA SHOPPING ZA SIKUKUU YA PASAKA.
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.