WADAU WA LAKAIRO HOTEL WAKIJUMUIKA NA WAGENI WAALIKWA KATIKA MAMBO YA KUSEREBUKA KTK HARUSI YA BWANA ZAKARIA NDONGO ALIYEFUNGA PINGU ZA MAISHA NA BIBI AMINA ALLY, SHEREHE KWELI KWELI..
HAPA NI MIE + UNCLEEE
BW. ZAKARIA NDONGO NA BI. AMINA ALLY WAKIFUNGUA MUZIKI KATIKA SHEREHE YA HARUSI YAO ILIYOFANYIKA JANA UKUMBI WA NEW MWANZA HOTEL NAKUFANA SANA.
MAMBO YETU YALEEE DANCE KUJIACHIA.
WAU BI HARUSI AMINA ALLY NA SHOSTITO WAKE NDANI YA HUG.
EH BANAEE! ENGO HII ILIKUWA BIZE ILE MBAYA KWANI KILA MMOJA ALIINGIA KATI KUONESHA MARINGO YAKE... UTAIPENDA.
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.