WAKATI JIJI LA MWANZA LIKIWA KTK MCHAKATO WA KUJITANGAZA ZAIDI KATIKA SUALA ZIMA LA UTALII, NAMI PIA KAMA MDAU WA SEKTA YA KUBLOGISHA SIKU SI NYINGI NITAKULETEA VIVUTIO VINAVYO PATIKANA KTK JIJI HILI LA MIAMBA. ENDELEA KUCHUNGULIA BLOG HII YAWEZEKANA IKAWA KESHO, NANI AJUAYE? TOKA JUU MJENGONI MAHALA NILIPO PIGA PICHA HII NI USIKU WA JANA MAJIRA YA SAA 22:13 KEEP LEFT KIELELEZO CHA MWANZA.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment