MKURUGENZI WA MSAMA PROMOTIOM BW. ALEX MSAMA SAMBAMBA NA KUWASHUKURU WAKAZI WA MWANZA KWA WITIKIO WAO ALIPATA FURSA YA KUTOA MAELEZO JUU YA KAZI ZIFANYWAZO NA KAMPUNI YAKE.
AIISEE! HUKU KILA MMOJA AKIONESHA DHAHIRI KUVUTIWA NA YALIYOKUWA YAKIJIRI JUKWAANI, HEBU TIZAMA NYUSO ZA FURAHA NA MATUMAINI ZA WATU WA MUNGU..
JOSHUA MLELWA AKIONGOZA MOJA YA NYIMBO ZA UPENDO GROUP AMBAO WALITUMBUIZA LIVE, HAWA MABWANA SIFA ZAO WASIKIE TU!
MAVOCALIST WA UPENDO GROUP LA JIJINI DAR ES SALAAM WAKISABABISHA NDANI YA UWANJA WA CCM KIRUMBA.
EH BANAEEEH! NIKUSISIMKA TUU MWANZO MWISHO KTK TAMASHA LA KUUKARIBISHA MWAKA 2010 LILILOANDALIWA NA MSAMA PROMOTION. MPAKWA MAFUTA WA BWANA MWIMBAJI MAHIRI MSHINDI WA TUZO YA MWIMBAJI BORA WA INJIRI YA TBC1. ROSE MUHANDO NA VIJANA WA KUNDI LAKE HAPA NI KATIKA WIMBO JIPANGE SAWASAWA 'SIMAMA KWA HE-HE-HESHIMA' HAKIKA ALITIKISA KWELI KATIKA TAMASHA HILI.
DJ MAARUFU JIJINI MWANZA DJ CURTER AKA THE PRESIDENT AKIFUATILIA KWA UMAKIIIIIIINI YALOKUWA YAKIJIRI
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment