Tupe maoni yako
VETA, Enabel waingia makubaliano ya kuwezesha vijana ujuzi wa ajira
-
Mkurugenzi Mkuu wa VETA CPA Anthony Kasore ((katikati) akisaini makubaliano
na Mkurugenzi Mkazi wa Enabel Koenraad Goekint kwa ajili ya msaada wa Fedha...
1 hour ago
Wow! nipoanza kuangalia hizo picha nikazani nipo mbinguni ninayo picha kuwa mbinguni kupo hivyo. Halafu jingine nimetamani kutafuta kiwanja hapa sijui kama ntapata:-)
ReplyDeleteWalah ....Itabidi niwe karibu nawe nizione hizo picha za mbinguni.
ReplyDeleteebwana kitu cha ukweli, bei zake vipi kwa mlalahoi wa kati
ReplyDeleteNice blog,mambo kaka Sengo? leo ndio nimeiona blog yako,kazi nzuri kaka ila umenikumbusha sana SATO!
ReplyDeletehahahaha! hakuna shida ila kwa kweli ni taswira nzuri sana nadhi safari ijayo nikija lazima nije hapo.
ReplyDeleteKwa kweli hao Malaika wanatihsa, nilikuwa mwanza for Xmas na new year nilifurahi sana kwan new year's eve walifanya mambo mazuri sana hao jamaa. Mandhali yao ni nzuri sana, kwa kweli Malaika ni pazuri sana!! Wageni wangu wa kiofisi wote nitawapeleka Malaika toka sasa. Website yao please Sengo tusaidie
ReplyDelete