MR. EDGAR JONAS MAPANDE WA DAR ES SALAAM ANAWATAKIA KILA LA KHERI NA FANAKA MARAFIKI WOTE KATIKA KUSHEREHEKEA X.MASS NA MWAKA MPYA 2010 UPENDO NA BURUDANI VIENDELEE.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
Kheri ya Krismasi na mwaka mpya kwako pia!!!
ReplyDeleteKaka Bert
ReplyDeleteKwa niaba ya familia yangu na wapenda mema wote nakutakia kila lililo jema wakati huu wa sikukuu na usalama kuelekea mwaka mpya
Baraka kwako