LICHA YA MWANZA KUWA BUSTANI KALI ZA KUVUTIA ZILIZOKO KTK MAENEO YA HOTEL KANA TILAPIA, YUNG LONG ZAMANI IKIJULIKANA KAMA ROCK BEACH NA TUNZA LODGE. ENEO HILI NDILO LINAONGOZA KULAKI WAGENI KWANI KILA MWISHO WA WIKI HUSHEHENI MAHARUSI MBALIMBALI, LITIZAME KWA MAKINI LINATOFAUTI KUBWA NA LILE ULOZOEA LA KEEP LEFT.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
mandhari nzuri inavutia na ni pasafi, nilisikia watu hawaruhusiwi kupumzika humo lakini mbona naona wadau wapo kwa raha zao.
ReplyDeleteBMK