LICHA YA MWANZA KUWA BUSTANI KALI ZA KUVUTIA ZILIZOKO KTK MAENEO YA HOTEL KANA TILAPIA, YUNG LONG ZAMANI IKIJULIKANA KAMA ROCK BEACH NA TUNZA LODGE. ENEO HILI NDILO LINAONGOZA KULAKI WAGENI KWANI KILA MWISHO WA WIKI HUSHEHENI MAHARUSI MBALIMBALI, LITIZAME KWA MAKINI LINATOFAUTI KUBWA NA LILE ULOZOEA LA KEEP LEFT.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
mandhari nzuri inavutia na ni pasafi, nilisikia watu hawaruhusiwi kupumzika humo lakini mbona naona wadau wapo kwa raha zao.
ReplyDeleteBMK