ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 25, 2009

FLASH BACK PICTURE NA MIE WIKI HII


UTOTONI NILIKUWA NAAMINI KUWA WAKATI UKIPIGA PICHA HURUHUSIWI KUVUTA PUMZI NI MWENDO KUGANDA. HAPA NI NDANI YA PHOTO ME STUDIO ARUSHA waliosimama kuanzia kushoto MY Bro ADAM SENGO, young father KEREBU & my young mom ELIZABETH CHARLES.
walioketi kutoka kushoto G.SENGO, my late young mom LYDIA CHARLES, sis LEAH SENGO (aliyepakatwa) & my sis RODHA SENGO. NAKUMBUKA MARA BAADA YA PICHA HII KUPIGWA NIKASEMA "MAMDOGO KIDOGO NIHEME" (lafudhi ya kichaga) TEHE! UNACHEKA NINI......?

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. kaka hii imekaa vizuri kinoma noma
    by
    James Mackay aka Gongoman

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.