WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MBUNGE WA WILAYA YENYE KASI KTK MAENDELEO (SENGEREMA) MH. WILLIAM NGELEJA (mwenye t.shirt nyeupe) AKISHOW LOVE NA WADAU WA FILAMU YA CONFUSION YENYE WASHIRIKI WENYE MAJINA MAKUBWA NCHINI KAMA GADNA G. HABASH, SALAMA JABIR, MAUNDA ZORO NA WENGINE KIBAO. FILAMU INA MAZINGIRA YA MIJI MIWILI MIKUBWA HAPA NCHINI DAR ES SALAAM NA MWANZA ILE HALI MWANZA IKICHUKUA ASILIMIA KUBWA KTK MATUKIO YA PICHA, MAZINGIRA NA WAIGIZAJI.
mimi nitaipataje hiyo movie huku UK? Bwana usishangae napokuwa kimya mi kila siku lazima nikutembelee nilifurahi niliona magazeti lakini yalikuwa yanazoom kidogo hivyo nilishindwa kusoma yanatakiwa yajae screen unapoyafungua, anyway kazi njema
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
mimi nitaipataje hiyo movie huku UK?
ReplyDeleteBwana usishangae napokuwa kimya mi kila siku lazima nikutembelee nilifurahi niliona magazeti lakini yalikuwa yanazoom kidogo hivyo nilishindwa kusoma yanatakiwa yajae screen unapoyafungua,
anyway kazi njema
BMK