ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, October 6, 2022

TMDA YAKAMATA DAWA ZA NGUVU ZA KIUME NA P2 HATARI KWA UZAZI KANDA YA ZIWA


Dawa hizo ni VEGA 100 zinazodaiwa kuongeza Nguvu za Kiume ambazo hazijasajiliwa na Dawa za kuharibu Vichocheo (Hormones) kwa Wasichana ili wasipate Ujauzito

-
Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Kanda ya Ziwa, Dkt. Edgar Mahundi, amesema wamekamata Dawa hizo zikiuzwa kiholea kwenye 30% ya Maduka ya Dawa zikiwa hazina vifungashio vinavyokubalika na aliyetengeneza hajulikani
-
Amesema ipo hatari ya kuwa na Taifa lenye Vijana wanaoshindwa kuzaliana kutokana na matumizi ya Dawa zisizo sahihi ambazo zinaongeza hali ya Ugumba na Utasa na kushauri Watu kununua Dawa wanazoshauriwa na Wataalamu.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.