ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 6, 2022

POLISI WAFANYA MAZOEZI NA MAMBA UKEREWE.

 NA ALBERT G. SENGO

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini TPA imetenga bajeti kwaajili ya kutoa mafunzo kwa askari wasaidizi wa ulinzi maeneo ya Bandari. - Ramadhan Ng'anzi ni Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza. - Mrisho S. Mrisho ni msimamizi wa huduma za ulinzi wa bandari. wamekuwa mashuhuda wa hitimisho la mafunzo hayo yaliyofanyika jijini hapa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.