ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 3, 2018

BREAKING: WATU 7 WAFARIKI KATIKA AJALI YA GARI DODOMA.

Watu 7 wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu ya serikali Mbande, mkoani Dodoma, usiku wa kuamkia leo. RPC Gilles Murotto amethibitisha.

Endelea kuwa nasi kwa taarifa kamili

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.