Watu 7 wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu ya serikali Mbande, mkoani Dodoma, usiku wa kuamkia leo. RPC Gilles Murotto amethibitisha.
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.