ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 3, 2018

UKWELI KUHUSU GARI LA MISS LAKE ZONE 2018




GSENGOtV
NI ZENGWE TU..! UKAGUZI WAFANYIKA KUHUSU UBORA ZAWADI YA MISS LAKE ZONE 2018 

Wakati Siku nzima ya ijumaa ya tarehe ya leo tarehe 3 mwezi Agasti 2018, mitandao mbalimbali ya kijamii, redio na televisheni zikisheheni habari ILIYOTIKISA juu ya shaka ya ubora wa gari analokwenda kutunukiwa Miss Lake Zone 2018, Gsengo Tv ikaona isiwe tabu na hapa inakusogezea ukweli kuhusu shaka iliyotanda.

Shwali kuu Jeh GARI AINA YA PASSO ALILOKUWA ANAKWENDA KUTUNUKIWA MSHINDI LILIKUWA LINAUBORA AU?

Wakati ukaguzi ukiwa umekamilika Mwenyeji wako mwanahabari Mansour Jumanne wa Gsengo Tv hapa ana fanya mahojiano ana kwa ana na Msimamizi Mkuu Kamati ya Miss Tanzania Basila Mwanukuzi.

BREAKING NEWS:-
KAMATI Miss Lake Zone 2018 imghairi kulitoa gari hilo lenye picha zake mitandaoni (licha ya kukaguliwa na kuonekana bora na lenye viwango) na sasa watatoa gari jingine JIPYA ambalo picha zake kuwajia hivi punde.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.