ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 3, 2013

WASIRA NAPE WAONGOZA KONGAMANO LA VIJANA KUJADILI RASIMU YA KATIBA MWANZA

Mjumbe wa Kamati kuu wa taifa ambaye pia ni Waziri wa Nchi ofisi ya Rais mahusiano Uratibu wa sera  Mhe. Stephen Wasira amewaasa wajumbe wa Tume ya Katiba waache kuuza msimamo wao wa kutaka serikali tatu kwa wananchi wawaachie Wajumbe wa Mabaraza ya katiba na wananchi wajadili nakutoamaamuzi yaliyo sahihi. 

Eneo la washiriki kongamano hilo.

Nape amewataka vijana kutafakari kwa kina maamuzi yao na kuwasihi kupinga kwa kauli moja pendekezo la serikali tatu kwani ni kuwaumiza wananchi kutokana na gharama za uendeshaji.

Pia amependekeza vijana wachipue msimamo wa suala la mgombea wa nafasi ya ubunge kuwa 21 badala ya 25 kama ilivyopendekezwa kwenye rasimu ya katiba.

Mijadala ikiendelea na uchangiaji wake.

Kila mmoja alikuja na kipaumbele chake.

Viongozi wa CCM kada mbalimbali.

Wasira akizungumza na wadau wa kongamano.

Wananchi waliohudhuria.

Umakini zaidi ndani ya kongamano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa BOT Capri point Mwanza.

Shughuli imekwisha kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Dk. Antony Diallo, Katibu wa CCM Ester Masunga na Katibu Mwenezi wa CCM nchini Nape Mnauye.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.