![]() |
| Fanuel Yona akiongoza mada kuhusu fursa za uwekezaji mkoa wa Mwanza katika mdahalo wa wadau wa maendeleo ya mkoa wa Mwanza uliofanyika katika ukumbi wa Gold Crest. |
![]() |
| Mada kuhusu dhana na uzoefu wa Public private partnership na mipango ya muda mrefu nayo iliwasilishwa. |
![]() |
| Wadau nao walipata fursa ya kuelezea uzoefu wao na kufanya uchambuzi wa sera za uwekezaji na biashara, juu ya nini hakikpsawa, nini si sahihi na nini tunaweza kufanya. |
![]() |
| Wadau wa habari kwenye mdahalo huo. |
![]() |
| Uchangiaji. |
![]() |
| Wadau wakihifadhi masuala muhimu ya Mdahalo. |
![]() |
| Safu ya waandishi wa habari kutoka kulia ni Flora Magabe, Grace Chilongola wa Habari Leo, George Ramadhan wa gazeti la Nipashe na Erika Elias wa RFA |
![]() |
| Afisa habari wa Halmashauri ya jiji la Mwanza Joseph Mlinzi akizibainisha fursa za uwekezaji zilizopo katika jiji la Mwanza. |
![]() |
| Wadau wakijishughulisha katika kunakili masuala muhimu. |
Tupe maoni yako













0 comments:
Post a Comment