Moja kati ya vielelezo kamilifu vya mkoa wa Arusha (ukiona chata hii basi ujue ni A town kwani haipatikani kwingine kokote kule duniani zaidi ya hapa).
Sheikh Amri Abeid Stadium kwenye kona hivi kwa nje nyuma ya ubao panapoandikwa magoli.
asante sana sengo kwakutulete picha za arusha kazi nzuri sana sisi tulioko nje tunafurahi sana kuona picha za arusha kwani tumetoka huko siku nyigi tuletee na picha za mianzini na sanawari stendi ni hayo tu athorwise unafanya vizuri
Kimbunga Hidaya: Kimbunga ni nini?
-
Zaidi ya watu 350 wamefariki dunia tangu mwanzoni mwa mwaka huu katika nchi
hizo za Afrika mashariki kutokana na mvua kubwa na mafuriko.
ATOA ELFU TANO KWA RAIS SAMIA
-
Na Munir Shemweta, MLELE
Mkazi wa kijiji cha Luchima katika kata ya Majimoto halmashauri ya Mpimbwe
wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Bw. Aseni Jandikile amet...
ATOA ELFU TANO KWA RAIS SAMIA
-
Na Munir Shemweta, MLELE
Mkazi wa kijiji cha Luchima katika kata ya Majimoto halmashauri ya Mpimbwe
wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Bw. Aseni Jandikile amet...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
asante sana sengo kwakutulete picha za arusha kazi nzuri sana sisi tulioko nje tunafurahi sana kuona picha za arusha kwani tumetoka huko siku nyigi tuletee na picha za mianzini na sanawari stendi ni hayo tu athorwise unafanya vizuri
ReplyDelete