ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, February 21, 2025

SIMBA SC NA AL MASRY ROBO FAINALI, IKIVUKA INA ZAMALEK

 

KLABU ya Simba itamenyana na Al Masry ya Misri katika Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika mechi ya kwanza ikichezwa Aprili 3 Jijini Cairo na marudiano Aprili Aprili 10 Jijini Dar es Salaam.

Ikifanikiwa kuvuka hapo na kwenda Nusu Fainali itakutana na mshindi kati ya Stellenbosch ya Afrika Kusini na mabingwa, watetezi, Zamalek ya Misri.

Katika Ligi ya Mabingwa Afrika, mabingwa watetezi, Al Ahly watamenyana na Al Hilal ya Sudan, wakati MC Alger ya Algeria itamenyana na Orlando Pirates ya Afrika Kusini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.