Ikifanikiwa kuvuka hapo na kwenda Nusu Fainali itakutana na mshindi kati ya Stellenbosch ya Afrika Kusini na mabingwa, watetezi, Zamalek ya Misri.
Katika Ligi ya Mabingwa Afrika, mabingwa watetezi, Al Ahly watamenyana na Al Hilal ya Sudan, wakati MC Alger ya Algeria itamenyana na Orlando Pirates ya Afrika Kusini.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.