ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 22, 2024

JEH NI KOSA KUMPA PASSWORD YAKO MKE AU MUME?

 NA ALBERT G. SENGO/MWANZA

Je! Unafahamu kutoweka nywila (password) kwenye simu yako ni kosa kisheria na unaweza kwenda jela ama kulipa faini? na vipi kuhusu kutoa nywila kwa mpenzi wako au mtu mwingine yeyote? Ungana na Meneja wa TCRA Kanda ya Ziwa, Mhandisi Imelda Salum, ambaye ameambatana na Afisa Mawasiliano TCRA Makao Makuu, Robin Ulikaye pamoja naye Afisa Masoko TCRA Benadetha Mathayo wakifunguka mengi zaidi kupitia kipindi cha Drive Mix ya 93.7 Jembe Fm Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.