ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, April 25, 2023

WABUNGE WA AZIMIO NCHINI KENYA WAMUAGIZA RUTO KUMKAMATA PIA YESU WA TONGAREN

 NA ALBERT G.SENGO

Wakati taarifa za mwanzilishi wa kanisa la Good News International Paul Mackenzie zikiwa zimegonga vichwa vya habari kwa takribani wiki moja sasa huku mtumishi huyo akiwa ameswekwa ndani, bunge la nchini Kenya limemtaka Rais wa nchi hiyo William Ruto kumkamata pia mchungaji maarufu kama Yesu wa Tongaren kwani naye anadaiwa kuwa ni mmpotoshaji.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.