ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 25, 2022

SIMBA AU YANGA, NI NANI TUTAMKOSA FAINALI?

 Jiji la Mwanza kwa sasa halilali kwani kila uchwao linapokea ugeni toka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi hasa ukizingatia jiji hilo ndiyo lango la nchi za maziwa makuu.

Ni bahati iliyoje kwa jiji la Mwanza kuwekeza vyema katika masuala ya hoteli hivyo wageni hawajaonekana kutaabika kwa kukosa mahala pa kufikia. Shuhudia tambo za leo mbele ya wandishi wa habari...... (cheki video) Kiingilio cha chini katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) baina ya watani, Simba na Yanga ni Sh. 10,000 Jumamosi Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Taarifa ya TFF imesema viingilio vingine ni Sh, 30,000 VIP A na Sh, 20,000 VIP B na mchezo utaanza Saa 9:30 Alasiri.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.