ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, September 25, 2018

PICHA ZIARA YA MDAU WA MAENDELEO KUFUTA SIFURI.

 
Mkurugenzi wa Shule za Patrick Mission na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Iyela,Ndele Mwaselela akizungumza na wanafunzi wa kidato cha nne ambao wapo kambi kwa ajili ya kujiandaa na Mitihani ya kidato cha nne mwaka hu ikiw ani mpango wa kutokomeza sifuri katika shule. 

Mkurugenzi wa Shule za Patrick Mission na Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Iyela,Ndele Mwaselela, akikabidhi Chakula kwa ajili ya Wanafunzi wa Kidato cha Nne Sekondari ya Iyela  ambapo mdau huyo wa Maendeleo alikabidhi gunia mbili za mchele.  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.