ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 4, 2017

MONGELA ATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI ALIYEDHULUMIWA KIWANJA MWANZA.


​AGIZO la rais JOHN POMBE  MAGUFULI la kumtaka mkuu wa mkoa wa mwanza kushughulikia malalamiko ya mkazi mmoja wa ISAMILO jijini MWANZA, ANNA JOYCE FRANCIS, aliyedai kudhulumiwa kiwanja chake kwa zaidi ya miaka 9 amefika katika eneo la mgogoro na kukutana na wananchi wengi wenye malalamiko kama hayo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.