Live Updates kupitia 93.7 @jembefm kutoka Butiama maadhimisho ya Siku ya Mazingira yanaendelea hapa kwenye Ukumbi wa Roman Catholic Mwitongo karibu na Familia ya #MwalimuNyerere Waziri @jmakamba2015 ndiye amefungua Rasmi Maadhimisho aya, @mansourjumanne yupo kukujuza kila kinachoendelea
CHINI YA KAULI MBIU #Tanzaniabilamkaainawezekana CC:- @mbabavc @jembenijembe @harith_jaha @mzairebokilo_93.7jembefm @bobwhite_pamba @mkuryamstarabu
Binadamu kuanza kuchimba madini angani?
-
Miamba ya angani ina utajiri mkubwa wa madini adimu kama platinamu, nikeli,
kobalti, na hata helium-3, ambayo ni muhimu katika uzalishaji wa nishati ya
nyu...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.