ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 14, 2017

JEMBE FM YAPOKEA UGENI TOKA BARAZA LA HABARI TANZANIA.


Kutoka kwa Mkuu wa vipindi @jembefm Timetheo Ngalula @mbabavc "Leo ni Furaha kubwa kwa Kituo Chetu cha @jembefm kimepokea Ugeni kutoka Baraza la Habari Tanzania (MCT)na Ulikuwa ni ujio wa Katibu mkuu wa Baraza hilo Mr Kajubi Mukajanga, Amepata fursa ya kutembelea ofisi zetu pia amesema anaridhishwa na utendaji wa Kituo Chetu, Vijana wetu na namna tunavyoendelea kuwa kituo bora nchini na kuwa tishio kwa Vituo vingine, Pia amempongeza C. E. O wa #JembeMediaGroup Dr Sebastian Ndege @jembenijembe kwa Uwekezaji alioufanya namna anavyotoa ajira kwa vijana na kwatengenezea mazingira mazuri ya Kazi vijana.

 "Shukrani sana kwenu MCT hakika hatutawaangusha, @jembenijembe @mbabavc @gsengo

#VyumaVimekaza #Amshaaa


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.