Miss Tanzania aiponza STANBIC. Lowassa aipa jeuri UKAWA, mameya Dar wakamilisha majibu ya Dk.Slaa kuhusu waziri huyo wa zamani. Urais Zanzibar waliponza Mawiwo, TMAA yanasa madini uwanja wa JNIA.Bavicha wamtega jaji Mutungi. Machungu rungu la Magufuli yaanza. Matokeo kidato cha pili yaibua mapya.Kubenea apania kufufua sakata la Escrow.
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.