ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, January 20, 2016

ASKARI POLISI ALIYEKEJELI PASPORT YA LIONEL MESSI KUPITIA SNAPCHAT AFIKISHWA MAHAKAMANI.

Askari Polisi aliye mkejeli Lionel Messi kupitia Snapchat video hiyo akiwa  na passport halisi ya Messi na kuigiza kwenye video hiyo akiuliza watazanaji "Je! Niichome hii passport ya Messi au niirudishe" 

Habari zinasema askari huyo hii leo kasimamishwa mahakamani, moja ya majarida ya Abu Dhabi yameripoti taarifa hiyo that the policeman appeared in Dubai's Court of Misdemeanours over posting the video to pals in December. 

The newspaper said the clip included the caption: "Shall I burn the passport or just put it back!" Albert Sengo 8:57pm The cop, identified as J.M., admitting breaching the five-time Ballon d'Or winner's privacy - but said it was just a joke. 

He claimed he had tried to get a photo with the Barca superstar only to be told he was too tired after arriving in Dubai airport's private jet area. 

The cop also claimed he had the permission of Messi's bodyguard to hold the document. He said: "I went to the passport control desk and noticed that Messi's passport had been left there, so I picked it up and shot a video of myself while holding it.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.