ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, June 2, 2015

PICHA YA MKE WA MBUNGE AKIMKABIDHI NAHODHA WA TIMU YA VINYOZI FC BAADA YA KUIBUKA NA UBINGWA

Mke wa mbunge wa jimbo la Kibaha mjini mama Selina Koka wa katikati akimkabidhi zawadi ya  kitita cha shilingi laki tatu naodha wa timu ya soka ya Vinyozi FC Kaiko Kantimbo wa kulia baada ya kuibuka mabingwa katika michuano ya kombe la koka cup ngazi ya kata ya maili moja kushoto ni msanii wa muziki wa kizazi kipya Hussen Machozi, mchezo huo ulimalizika kwa Vinyozi Fc kushinda  kwa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao timu ya boda boda FC.(Picha na Victor Masangu)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.