Barnaba ameingia katika list ya wasanii wakubwa walioshiriki katika kazi za wasanii wengine na ndiye msanii anayeongoza kusaidia wasanii wanaochipukia katika muziki wa Bongo Fleva kwa mwaka 2015.
Safari hii Barnaba anasikika kwenye kiitikio cha wimbo mpya kabisa wa Hip Hop alioshirikiswa na Wiz Tayson kutoka Maskan ya B.O.B Click.
Wiz Tayson wimbo wake mpya huu ameupatia jina la SIJUTII alioufanyia katika studio za Kir record chini ya muandaaji Rash Don.
Sijutii Wiz anazungumzia maisha ya watu wengi na magumu tunayoyapitia katika maisha ya kiTanzania pia anasikika Barnaba akisema kwenye maisha ukianguka nyanyuka na tujifunze kuweka akiba
MONGELLA AWAMWAGIA SIFA UWT KWA UTENDAJI ULIOTUKUKA
-
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Ndg John Mongella ametoa sifa kwa
jumuiya ya UWT kwa kuwa mstari wa mbele katika kuelezea kazi za Chama kwa
wananchi...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.