![]() |
Naikaribisha asubuhi na kitu cha kitumbua na chai ya rangi motooo... |
![]() |
Mining'inio na jicho lionavyo toka dukani. |
![]() |
Ze - Ujumbe |
![]() |
....Kupita kiasi..... |
![]() |
Wakiibuka wale jamaa zetu wa njaro za usiku tutasema wamevunja mlango au wametegua mlango? Na mwenye mali atakwenda kuripoti polisi kwamba kavunjiwa duka au ama nini....? |
![]() |
Ze hausi...!!! |
![]() |
Hatariiii... |
![]() |
Hoteli ndogondogo. |
![]() |
Ze porakoto-pompo sevisi....! |
![]() |
Kijana mchapa kazi. |
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.