ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, May 10, 2013

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MAALUM KWA WATEJA WAKE IJULIKANAYO KAMA AIRTEL PREMIUM


Mkurugenzi mkuu wa Airtel Sunil Colaso akimzawadia  bi Rose Maina mmoja wa wateja katika uzinduzi wa huduma mpya kwa wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam akifuatiwa na Mkurugenzi wa huduma kwa wateja bi Adriana Lyamba.

Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Airtel  Adriana Lyamba akimzawadia  bw. Joseph Mambo .mmoja wa wateja katika uzinduzi wa huduma mpya ya wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam, akishuhudia ni  Mkurugenzi Mkuu wa Airtel  Sunil Colaso.

Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Airtel Adriana Lyamba akimzawadia  bw. Abdual Salum mmoja wa wateja katika uzinduzi wa huduma mpya ya wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam, akishuhudia ni  Mkurugenzi Mkuu wa Airtel  Sunil Colaso.

Mteja wa Airtel bw. Picket Robert Miranda (kushoto) akiongea na mkurugenzi wa huduma kwa wateja Adriana Lyamba (kulia) na Meneja wa huduma kwa wateja Hilda Nakajumo (katikati)  katika uzinduzi wa huduma mpya ya wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam.

Mkurugenzi mkuu wa Airtel Sunil Colaso (kushoto) na wafanyakazi wengine wa Airtel, Adriana Lyamba (Kulia) akifuatiwa na Meneja wa huduma kwa wateja  Hilda Nakajumo wakiongea na mmoja wa wateja wa Airtel David Mukama(wa pili kushoto) katika uzinduzi wa huduma mpya kwa wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.