Hongera da-Pilly Mgori kwa kujifungua salama siku ya jumamosi na kutuletea Baby Girl.
Kama ilivyoada kwa waafrika na tamaduni zetu mie na swahiba wangu Humphrey Simon siku ya jana tulidhuru hospitali ya Mwananchi Mwanza kumjulia hali, Alhamdulilah mambo yalikuwa swafiZ.
Humprey Simon wa kitengo cha masoko Clouds Mwanza akipata baraka za mtoto wa sis Pilly.
Alhamis ya Kitajiri na Meridianbet Imefika
-
NI siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu
Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka
o...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.