Hongera da-Pilly Mgori kwa kujifungua salama siku ya jumamosi na kutuletea Baby Girl.
Kama ilivyoada kwa waafrika na tamaduni zetu mie na swahiba wangu Humphrey Simon siku ya jana tulidhuru hospitali ya Mwananchi Mwanza kumjulia hali, Alhamdulilah mambo yalikuwa swafiZ.
Humprey Simon wa kitengo cha masoko Clouds Mwanza akipata baraka za mtoto wa sis Pilly.
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.