Hongera da-Pilly Mgori kwa kujifungua salama siku ya jumamosi na kutuletea Baby Girl.
Kama ilivyoada kwa waafrika na tamaduni zetu mie na swahiba wangu Humphrey Simon siku ya jana tulidhuru hospitali ya Mwananchi Mwanza kumjulia hali, Alhamdulilah mambo yalikuwa swafiZ.
Humprey Simon wa kitengo cha masoko Clouds Mwanza akipata baraka za mtoto wa sis Pilly.
NEMC YAFUTURISHA SERENA
-
-Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi
-Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira
Nchini*
Baraza la Taifa la Hifadhi n...
0 comments:
Post a Comment