wewe sengo rudi kirumba maana haya mambo uliyo post sii mapyaa saaaana niyakishamba tu yasiyo na mwelekeo. Nilitamani kuona jinsi mkurugenzi wa jiji mwanza alivyozomewa mbele ya rais najua ungekuwepo. Sasa wewe , Dina zamaradi Jdee mnaleta ama kupost mambo ya machozi band tuuuuu tumechoka na sura zenu kongwe
Mdau hayo ya kuzomewa, huwa wanazomewa sana, na ndo fashoni za kanda ya ziwa so kama ni picha siyo inshu zingoje hapa hapa zaja! tehe machozi kiwanja changu, pole sana na likizo yangu!
WAZIRI MKUU AZINDUA ALBINO MOBILE APP
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa
amezindua 'Albino Mobile App' ambayo ni program ya simu janja
itakayowezasha usajili na...
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
wewe sengo rudi kirumba maana haya mambo uliyo post sii mapyaa saaaana niyakishamba tu yasiyo na mwelekeo. Nilitamani kuona jinsi mkurugenzi wa jiji mwanza alivyozomewa mbele ya rais najua ungekuwepo. Sasa wewe , Dina zamaradi Jdee mnaleta ama kupost mambo ya machozi band tuuuuu tumechoka na sura zenu kongwe
ReplyDeleteMdau hayo ya kuzomewa, huwa wanazomewa sana, na ndo fashoni za kanda ya ziwa so kama ni picha siyo inshu zingoje hapa hapa zaja! tehe machozi kiwanja changu, pole sana na likizo yangu!
ReplyDelete