Hongera nyingi kwa Malunde 1 Blog kwa ushindi huu wa heshima katika Mdau Awards Shinyanga – kipengele cha Uandishi Bora na Upashaji Habari Bora!
Gsengo Blog inatoa pongezi za dhati kwa Bwana Kadama Malunde, Mkurugenzi, mmiliki na muasisi wa blogu hiyo, pamoja na timu nzima ya waandishi wanaofanikisha kazi hii kwa bidii na ubunifu.
Tuzo hii ni uthibitisho kwamba kazi nzuri, uaminifu na weledi hulipa.
Hongereni sana Malunde 1 Blog — endeleeni kung’ara na kuweka historia!
Tupe maoni yako



0 comments:
Post a Comment