ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, February 6, 2023

CHARLES HILARY ATEULIWA KUWA MSEMAJI WA SERIKALI YA ZANZIBAR.

 


Charles Hilary

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Charles Hilary kuwa Msemaji Mkuu wa Serikali. Charles Hilary ni Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano - Ikulu, Zanzibar.

Ikumbukwe Charles Hilary ni Mtangazaji na Mwandishi wa Habari wa siku nyingi nchini Tanzania.


Cheo hicho hakikuwahi kuwepo ndani ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar tangu utawala wa Rais wa Awamu ya Tano, Dk Salmin Amour

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.