ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 30, 2022

ALAT MWANZA KUCHUKUWA HATUA KWA WATUMISHI WANAOHUSIKA NA VITENDO VYA UBADHIRIFU WA FEDHA ZA UMMA.

 NA ALBERT G.SENGO/SENGEREMA MWANZA

Katibu tawala wa mkoa wa mwanza ELIKANA BALANDYA amezitaka halmashauri za wilaya, manispaa na Jiji Mkoani Mwanza kusimamia kikamilifu matumizi ya fedha za maendeleo ili kuwezesha miradi inayotekelezwa kuwa na tija kwa wananchi. Akizungumza katika mkutano wa Jumuiya ya serikali za mitaa nchini (ALAT) Mkoa wa Mwanza BALANDYA pia amewaasa viongozi na watendaji wa halmashauri kusimamia vyema ukusanyaji wa mapato ya ndani pamoja na kuchukua hatua dhidi ya watumishi wanaohusika na vitendo vya ubadhirifu wa fedha za umma.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.