ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 3, 2018

MAMA AZIMIA MAZISHINI BAADA YA WANAWE WANNE KUFARIKI KWA AJALI YA MOTO WILAYANI SENGEREMA



WATOTO wanne wa familia moja ya katika mtaa wa Geita kata ya Nyatukala wilayani Sengerema wamefariki dunia baada ya chumba walichokuwa wamelala kuwaka moto.

Akizungumzia ajali hiyo mkuu wa wilaya ya SENGEREMA mh EMMANUEL KIPOLE amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa tarehe 27/2/2018 majira ya saa tano na baada ya timu ya ulinzi na usalama kufika eneo la tukio imebaini kuwa chanzo cha ajali hiyo  ni mshumaa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.