Furahia muziki wa watu kabila la Sukuma (Wasukuma) toka mkoani Shinyanga ndani ya Maadhimisho ya sikukuu ya mavuno Bulabo yaliyofanyika viwanja vya michezo Kisesa mkoani Mwanza.
KHADIJA SAID ANG’ARA WIKI YA JUMUIYA YA WAZAZI DAR
-
*Leo, Jumamosi ya tarehe 09 Mei 2026, Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Dar es
Salaam imefanikiwa kufanya Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Jumuiya ya
Wazazi Mkoa...
0 comments:
Post a Comment